Sabbath Light Ministry docs

"Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake;..." (Waebrania 4:12)

UNABII

666 Namba ya mnyama
Alama ya mnyama
Mnyama ni nani?
USA katika unabii
Sanamu ya mnyama
Wanyama wanne
Wafalme nane
Ndoto ya mfalme
Pembe ndogo
Wiki 70 za kiunabii

Siku 2300 za unabii
Mashahidi wawili

UKWELI WA BIBLIA

Hamwi chini ya sheria
Mwenye haki ataishi kwa imani
Torati na Agano Jipya
Laana ya sheria
Ulibatizwa katika Kristo?
Mpinga-Kristo ni nani?
Nani ni Kanisa la kweli?
Moto wa jehanamu ni milele?
Ukweli mwepesi kwenye Biblia
Maswali & Majibu
Wafu wako wapi?
Ujumbe wa malaika watatu

SABATO

Jumapili ni Sabato?
Bado unatunza Jumapili?
Mitume na Sabato? 1
Mitume na Sabato? 2
Sabato ilibadilishwa?
Muulize Yesu kuhusu Sabato
Kalenda ya siku za wiki

KUHUSU UUNGU

Mungu mmoja ni nani?
Yesu Kristo ni Mungu?
Yesu ni malaika Mikaeli?
Yesu alizaliwa na Mungu?
Tuamini Uungu au Utatu?

FUNDISHO LA UTATU

Utatu ni kweli au uongo?
Mungu ni fumbo?
Utatu ni upagani?
Yesu ni Mungu Baba?
Wanateolojia na Utatu
Utatu ni upinga-Kristo?

MAFUNDISHO YA RCC

Maelezo kuhusu Papa
Ekaristi ni makufuru?

MAONYO

Pasaka ni upagani?
Krismasi ni upagani?
Mwaka mpya upagani?
Usishiriki katika dhambi

MENGINEYO

Kwa ajili ya wa SDA tu
Mafundisho ya EGW
Kuhusu SLM
Jisajili SLM
Zaburi 119:105 “Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.”

2Wakorintho 4:6 “Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang’aa toka gizani, ndiye aliyeng’aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.”

Zaburi 119:130 “Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.”

2Petro 1:19 “Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing’aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.”

Wagalatia 4:16 "Je! Nimekuwa adui wenu kwa sababu nawaambia yaliyo kweli?"

Najua wengi ambao "hawaipendi kweli" katika mioyo yao wenyewe, watanichukia kwa sababu ninawakilisha kile ambacho ni kinyume nao. Kwa hakika, nimekutana na baadhi ya watu mtandaoni ambao wameniambia "acha kufuatilia kanisa Katoliki, jifundishe wewe mwenyewe achana na kanisa letu".

Ndugu wengi kati ya dada na kaka wameongozwa kuamini mafundisho ya Katoliki yasiyo na msingi katika Maandiko; kama vile "Utatu", "ibaada ya Jumapili" n.k. Sababu kuu nashiriki ukweli kwenye tovuti/blog hii, si yoyote ile isipokuwa kama Yakobo anavyoweka wazi kwamba, "Ndugu zangu, ikiwa mtu wa kwenu amepotelea mbali na kweli, na mtu mwingine akamrejeza; 20 jueni ya kuwa yeye amrejezaye mwenye dhambi hata atoke katika njia ya upotevu, ataokoa roho na mauti, na kufunika wingi wa dhambi." (Yakobo 5:19-20)

Na labda baadhi ya roho zinaweza kuiona hali yao halisi na kuepuka uongo wa kanisa Katoliki na mabinti zake. "Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;" (Waefeso 5:11)

Je una swali?, Maoni?, Ushauri?, au umeona kosa lolote kwenye tovuti hii na ungependa kunijulisha? Nitumie email, au tumia ukrasa wa facebook.

This website was built using N.nu - try it yourself for free.    (Click here to renew the premium)