"Umoja wa mataifa umetuhumu makao makuu ya kanisa katoliki la Vatican kwa kuidhinisha na kutumia sera zilizowezesha mapadre kubaka na kuwalawiti maelfu ya watoto. . . .Umoja wa mataifa unasema uongozi wa kanisa katoliki unapaswa kufanya juhudi zaidi ili kuzuia makosa yaliyowahi kutokea. . . .Ripoti hiyo pia imekosoa msimamo wa Kanisa katoliki mapenzi ya jinsia moja,upangaji uzazi na uavyaji mimba." —(BBC 5 Februari 2014)
Other posts
- menus
- Papa Francis asema, haoni tatizo kwa wachungaji na makasisi ambao ni mashoga!
- VIDEO: Papa alifanya mkutano wa kisiri na wanandoa wa jinsia moja nchini U.S.
- PAPA
- Kikundi cha Wakatoliki cha Mashoga kimepewa huduma ya heshima huko Vatican kwa mara ya kwanza
- Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga
- Mpenzi wa kuhani alikuwa msanii wa kurekodi mashoga
- Chuo Kikuu cha Katoliki kinaongeza Faida kwa Wenzi wa Ndoa ya jinsia moja
- Kuhani Mkuu wa Ufaransa na mshauri wa Vatican ameshutumiwa katika kashfa ya ngono